Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la UVCCM Taifa,Ridhiwani Kikwete akilakiwa na Mgombea ubunge Jimbo la Ruangwa kupitia CCM,Khamis Majariwa baada ya kuwasili jana katika Kata ya Nandagala, tayari kuanza ziara ya kuhamasisha vijana na wafuasi wa chama hicho kuweka mikakati ya ushindi mkubwa kwa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 31, mwaka huu.
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la UVCCM Taifa,Ridhiwani Kikwete akilakiwa na Mgombea ubunge Jimbo la Ruangwa kupitia CCM,Khamis Majariwa baada ya kuwasili jana katika Kata ya Nandagala, tayari kuanza ziara ya kuhamasisha vijana na wafuasi wa chama hicho kuweka mikakati ya ushindi mkubwa kwa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 31, mwaka huu.
Comments