Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi UVCCM) Taifa, Ridhiwani Kikwete akipandisha bendera ya chama hicho wakati wa uzinduzi wa Tawi jipya la Namindondi wakati wa ziara ya kampeni ya kupanga mikakati ya ushindi wa chama hicho katika mkutanio Mkuu, juzi katika Jimbo la Mtwara Vijijini. Kulia ni Mgombea Uubunge Jimbo la Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI