Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete, akimkabIdhi Katibu wa UVCCM Kata ya Mkwajuni, Charles Mwaniwe moja kati ya baiskeli 180 zilizotolewa na UVCCM Taifa kwa Kata 180 mkoani Mbeya.Ridhiwani alikuwa Wilayani Chunya kwa ziara ya kampeni ya kuweka mikakati ya ushindi kwa CCM, juzi.
Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete, akimkabIdhi Katibu wa UVCCM Kata ya Mkwajuni, Charles Mwaniwe moja kati ya baiskeli 180 zilizotolewa na UVCCM Taifa kwa Kata 180 mkoani Mbeya.Ridhiwani alikuwa Wilayani Chunya kwa ziara ya kampeni ya kuweka mikakati ya ushindi kwa CCM, juzi.
Comments