Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete (katikati), akiwa na kikosi kazi cha kampeni ya kuhakikisha CCM inashinda kwa kishindo, mjini Mbeya leo asubuhi kabla ya kutwanga kiguu na njia kuendelea na zaiara yao wilayani Chunya. baadhi yao ni vijana kutoka mkoani Mbeya . Aliyevaa jaketi la kazi ni Kamanda Richard Mwaikenda ambaye ni Mwandishi wa habari wa msafara huo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU