Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete (katikati), akiwa na kikosi kazi cha kampeni ya kuhakikisha CCM inashinda kwa kishindo, mjini Mbeya leo asubuhi kabla ya kutwanga kiguu na njia kuendelea na zaiara yao wilayani Chunya. baadhi yao ni vijana kutoka mkoani Mbeya . Aliyevaa jaketi la kazi ni Kamanda Richard Mwaikenda ambaye ni Mwandishi wa habari wa msafara huo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA