Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa
Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete, akikabidhiwa
na Chifu Lufingo Mwakitalu mkuki ikiwa ni ishara ya ulinzi
imara, baada ya kutawazwa kuwa Chifu wa kinyakyusa juzi
katika mkutano wa kampeni za ndani za kuweka mikakati ya
kuipatia CCM ushindi wa kishindo,juzi katika Kata ya Ipinda,
Kyela.Amepewa jina la Chifu Mwailemale.Kulia ni Chifu
Glasswell Mwakalukwa. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA