Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa
Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete, akikabidhiwa
na Chifu Lufingo Mwakitalu mkuki ikiwa ni ishara ya ulinzi
imara, baada ya kutawazwa kuwa Chifu wa kinyakyusa juzi
katika mkutano wa kampeni za ndani za kuweka mikakati ya
kuipatia CCM ushindi wa kishindo,juzi katika Kata ya Ipinda,
Kyela.Amepewa jina la Chifu Mwailemale.Kulia ni Chifu
Glasswell Mwakalukwa. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Comments