Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa
Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete, akikabidhiwa
na Chifu Lufingo Mwakitalu mkuki ikiwa ni ishara ya ulinzi
imara, baada ya kutawazwa kuwa Chifu wa kinyakyusa juzi
katika mkutano wa kampeni za ndani za kuweka mikakati ya
kuipatia CCM ushindi wa kishindo,juzi katika Kata ya Ipinda,
Kyela.Amepewa jina la Chifu Mwailemale.Kulia ni Chifu
Glasswell Mwakalukwa. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU