Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa
Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete, akiwa na
Kikosi Kazi cha kampeni ya kuhakikisha ushindi mkubwa kwa 
CCM, kilipofika katika ubao unaoonesha barabara pekee nchini
iliyopita katika kilele cha mlima Kawete, Mbeya. Kikosi
hicho kilikuwa kinaelekea Chunya. 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI