Mlemavu wa viungo,Omar Chutira akitoa shukrani katika mkutano wa kampeni za kuhamasisha ushindi wa kishindo kwa CCM. katika Kata ya Namasakata, Tunduru,baada ya kupatiwa msaada wa sh. 160,000 za kununulia baiskeli ya magurudumu matatu zilizotolewa na Umoja wa Vijana wa CCM kwa maagizo ya Katibu Mkuu wa Chama hicho, Yusufu Makamba kufuatia ahadi aliyoitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Tunduru.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA