RIDHIWANI APEWA ZAWADI YA NDIZI,VIAZI NA KUU RUNGWE

Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa
Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete, akikabidhiwa
zawadi ya mkungu wa ndizi baada ya kuhutubia katika mkutano
wa ndani wa kupanga mikakati ya ushindi wa kishindo kwa CCM,
katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 31, mwaka huu, juzi katika Kata
ya Kinyala, Rungwe.Alikabidhiwa mikungu miwile, kuku na
gunia la viazi mviringo.(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA