RIDHIWANI APEWA ZAWADI YA NDIZI,VIAZI NA KUU RUNGWE

Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa
Vijana wa CCM (UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete, akikabidhiwa
zawadi ya mkungu wa ndizi baada ya kuhutubia katika mkutano
wa ndani wa kupanga mikakati ya ushindi wa kishindo kwa CCM,
katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 31, mwaka huu, juzi katika Kata
ya Kinyala, Rungwe.Alikabidhiwa mikungu miwile, kuku na
gunia la viazi mviringo.(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA