RIDHIWANI ATAWAZWA KUWA CHIFU WA WANYAKYUSA


Machifu wa kinyakyusa Ernest Mwailemale (kushoto) na
Glasswell Mwakalukwa wakimvisha golole,Mjumbe wa Kamati ya
utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM
(UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete, alipotawazwa kuwa chifu wa
kinyakyusa na kuitwa Chifu Mwailemale juzi katika mkutano wa
kampeni za ndani za kuweka mikakati ya kuipatia CCM ushindi
wa kishindo,juzi katika Kata ya Ipinda, Kyela. (PICHA NA
RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA