RIDHIWANI ATAWAZWA KUWA CHIFU WA WANYAKYUSA


Machifu wa kinyakyusa Ernest Mwailemale (kushoto) na
Glasswell Mwakalukwa wakimvisha golole,Mjumbe wa Kamati ya
utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM
(UVCCM)Taifa,Ridhiwani Kikwete, alipotawazwa kuwa chifu wa
kinyakyusa na kuitwa Chifu Mwailemale juzi katika mkutano wa
kampeni za ndani za kuweka mikakati ya kuipatia CCM ushindi
wa kishindo,juzi katika Kata ya Ipinda, Kyela. (PICHA NA
RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI