RIDHIWANI AWAPATANISHA MBEGA NA MWAKALEBELA


Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la Umoja wa Viajana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ridhiwani Kikwete (katikati), akiwatambulisha Monica Mbega (kulia) na Davidi Mwakalebela baada ya kuwapatanisha na kuvunja makundi katika kikao cha Baraza la Vijana mjini Iringa jana.Monica ni mgombea ubunge Jimbo la Iringa mjini na Mwakalebela alienguliwa kuwania nafasi hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU