Ridhiwani Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa Uomja wa Wajasiriamali na Wavuja Jasho mkoani Mbeya (UVIWAMBE), baada ya kufanya nao mkutano jana Uyole, Mbeya . Wanachama hao ambao ni wakereketwa wa chama cha mapinduzi wameahidi kukipigia chama hicho kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA