VODACOM YATOA ZAWADI YA IDD ZANZIBAR




Naibu Khadhi Mkuu wa Zanzibar Shekhe Khamis Haji Khamis akiwakabidhi akiwakabidhi Mafuta ya kula watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu wa mjini Unguja Zanzibar mara baada ya kukabidhiwa rasmi na Mkurugenzi wa Mahusiano wa Vodacom Foundation kwenye hafla ya futari iliyoandaliwa na Vodacom Foundation na kutoa misaada ya vyakula, mafuta ya kula,madafutari pamoja na mbuzi 12 kwa ajili ya sikukuu ya Eid el Fitr,Vyote vikiwa na thamani ya Shilingi Milioni 2.




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI