Baadhi ya Waalimu wakishiri katika maandamo kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri Morogoro
Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakipita jukwaa Kuu huku wakishangilia na kufurahia, wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) iliyofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam na kuhudhuliwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki. Sherehe hizo zilifanyika kitaifa mkoani Morogoro ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Rais Jakaya kikwete. (PICHA NA MUHIDIN SUFIANI-VPO)
Mfanyakazi bora wa Mamlaka ya Chakula na dawa (TFDA), Silvin Sulle (kushoto), akipokea cheti pamoja na hundi ya shilingi milioni moja kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Sadiki, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi, 'Mei Dei', Dar es Salaam
Mfanyakazi bora wa Mamlaka ya Chakula na dawa (TFDA), Silvin Sulle (kushoto), akipokea cheti pamoja na hundi ya shilingi milioni moja kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Sadiki, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi, 'Mei Dei', Dar es Salaam
Comments