MTABIRI maarufu Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein amefariki Dunia leo asubuhi.
Kwa mujibu wa Mwanawe mkubwa Hassan Hussein, amesema babake ambaye alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo amefariki saa 4.30 asubuhi alipokuwa akikimbizwa Hospitali ya Mount Mkombozi, Kinondoni,, Dar es Salaam.
Shuguli za kuaga mwili wa marehemu zitaanza kesho saa nne asubuhi nyumbani kwake Mwembe Chai, Magomeni, Dar es Salaam na maziko yatafanyika aidha katika makaburi ya Kisutu ama Tambaza jijini.
Kwa mujibu wa Mwanawe mkubwa Hassan Hussein, amesema babake ambaye alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo amefariki saa 4.30 asubuhi alipokuwa akikimbizwa Hospitali ya Mount Mkombozi, Kinondoni,, Dar es Salaam.
Shuguli za kuaga mwili wa marehemu zitaanza kesho saa nne asubuhi nyumbani kwake Mwembe Chai, Magomeni, Dar es Salaam na maziko yatafanyika aidha katika makaburi ya Kisutu ama Tambaza jijini.
Comments