Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo ya Meneja wa Shirika la Umeme la Pemba, Salum Masoud Saleh (kushoto), wakati alipotembelea shirika hilo lililopo eneo la Wesha, kwa ajili ya kukagua mitambo ya kuzalisha umeme, akiwa katika ziara yake ya kukagua maendeleo ya miradi ya Serikali mikoa ya Kaskazini na Kusini Pemba .Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Juma Kassim Tindwa. Dkt. Bilal kesho Mei 19, anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za maadhimisho ya Siku ya wauguzi zitakazofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam.(PICHA NA MUHIDIN SUFIANI-OMR)
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments