Katibu Mtendaji wa Sekretarieti ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), Balozi Liberata Mulamula akimpa picha ya kuchora toka Burundi, Katibu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk. Richard Sezibera alipomtembelea ofisini kwake Arusha,
Katibu Mkuu wa Bunge la Jumuiya ya Madola (CPA),Dk. William Shija (kulia) akiwa na Mbunge wa Viti Maalum, Al- Shayma Kwegyir (katikati) na Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah alipotembelea ofisi ndogo za Bunge, Dar es Salaam
Katibu Mkuu wa Bunge la Jumuiya ya Madola (CPA),Dk. William Shija (kulia) akiwa na Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah alipotembelea ofisi ndogo za Bunge, Dar es Salaam
Katibu Mkuu wa Bunge la Jumuiya ya Madola (CPA),Dk. William Shija (kulia) akiwa na Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah alipotembelea ofisi ndogo za Bunge, Dar es Salaam
Comments