Uongozi wa Blogu hii ya kizalendo, unawaomba radhi wadau wake wote kwa usumbufu walioupata kuhangaika kuperuzi kwenye blogu bila mafanikio kwa takribani siku nzima, wakati BOSS wa wetu Mkuu akizifanyia maboresho blog zote Duniami.
Sasa kama kawa tumerudi tena kuwaletea mambo motomoto, hivyo naamini mtakuwa mmeuelewa vilivyo ujumbe huu na kuendelea kuipitia mara kwa mara Blogu yenu. Wenu Mtayarishaji Kamanda Mwaikenda. Alamsiki.
Comments