MAADHIMISHO DHIDI YA MATUMIZI YA TUMBAKU

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Hadji Mponda (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Bi. Rutgard Kagaruki mmoja wa wahamasishaji walio katika mapambano dhidi ya matumizi ya bidhaa za tumbaku nchini kutoka asasi ya kiraia inayopiga vita matumizi ya bidhaa za tumbaku nchini (Tanzania Tobacco Control Forum) wakati alipotembelea banda la maonyesho la asasi hiyo wilayani Bagamoyo leo. (PICHA ZOTE NA ARON MSIGWA-MAELEZO)


Wanafunzi wa Chuo cha Sanaa Bagamoyo (TASuBA) wakiwasilisha ujumbe unaopiga vita matumizi ya bidhaa za tumbaku wakati wa maadhimisho ya Siku ya kutotumia tumbaku Duniani leo wilayani Bagamoyo.




Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Hadji Mponda akizungumza na wananchi wa wilaya ya Bagamoyo leo wakati wa maadhimisho ya Siku ya kutotumia Tumbaku duniani ambayo kitaifa yamefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Majengo Bagamoyo. Pamoja na mambo mengine amesema serikali imeandaa mpango mkakati wa miaka 5 kwa lengo la kudhibiti matumizi bidhaa za tumbaku nchini.




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.