Mwanafunzi Elizabeth Augustino wa Shule ya Sekondari Jamhuri, Dar es Salaam, akijitolea damu wakati wa maadhimisho hayo. Anayemtoa ni muuguzi Jacob Masele kutoka hospitali ya Lugalo.
Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kushoto) akisalimiana na Muuguzi mstaafu, Jito Ramu wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja, Dar es Salaam.
Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kushoto) akiwa na baadhi ya wauguzi wakuu wa mikoa nchini wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani iliyofanyika jana kwenye viwanja vya Mnazi mmoja, Dar es Salaam.
Comments