Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete akiongea na mwanafunzi Marko Nyankena wakati wa hafla hiyo. (PICHA ZOTE NA JOHN LUKUWI)
Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akimpatia begi mwanafunzi Geoffrey Gideon Masige mwenye umri wa miaka 10 anayesoma darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Ushashi iliyoko wilayani Bunda wakati wa uzinduzi rasmi wa jengo la madarasa lililojengwa kwa hisani ya Twiga Cement.
Nani kama Mama' ndivyo anavyoonekana Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akimtengeneza sketi msichana Sinde Bahati anayesoma darasa la 4 katika Shule ya Msingi Ushashi mara baada ya Mama Salma kuzindua rasmi jengo la madarasa katika shule hiyo
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa jengo la madarasa lililojengwa na Kampuni ya Twiga Cement katika Shule ya Msingi Ushashi iliyoko katika Kijiji cha Ligamba kilichoko katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara. Uzinduzi huo ulifanyika jana.
Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akimpatia begi mwanafunzi Geoffrey Gideon Masige mwenye umri wa miaka 10 anayesoma darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Ushashi iliyoko wilayani Bunda wakati wa uzinduzi rasmi wa jengo la madarasa lililojengwa kwa hisani ya Twiga Cement.
Nani kama Mama' ndivyo anavyoonekana Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akimtengeneza sketi msichana Sinde Bahati anayesoma darasa la 4 katika Shule ya Msingi Ushashi mara baada ya Mama Salma kuzindua rasmi jengo la madarasa katika shule hiyo
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa jengo la madarasa lililojengwa na Kampuni ya Twiga Cement katika Shule ya Msingi Ushashi iliyoko katika Kijiji cha Ligamba kilichoko katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara. Uzinduzi huo ulifanyika jana.
Comments