Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) litakuwa na mkutano na makocha na waamuzi wote wa mpira wa miguu wanaoishi Dar es Salaam. Marefa na makocha wanaotakiwa kuhudhuria mkutano huo ni wa madaraja na ngazi zote. Mkutano huo utafanyika Jumamosi (Mei 28 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF zilizoko Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume wilayani Ilala kuanzia saa 3.30 asubuhi. Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF, Sunday Kayuni ndiye atakayekuwa mzungumzaji mkuu katika mkutano huo. Tunawaomba makocha na marefa wote wanaoishi au walioko Dar es Salaam kuhudhuria mkutano huo muhimu kwa maendeleo ya mpira wa miguu katika Mkoa wa Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla. Boniface WamburaOfisa Habari TFF
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments