MREMA AIONJESHA JOTO YA JIWE ARUSHA KWA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA UMMA

Mkaguzi wa Hesabu za Serikali Kanda ya Kaskazini, Asalea Kihupi, (kulia), akitoa taarifa ya mapato na matumizi ya Mkoa wa Arusha kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa, Dar es Salaam leo. Taarifa hiyo ilikataliwa na kamati hiyo baada ya kuonesha matumizi makubwa ya fedha na kushindwa kukusanya sh. bilioni 1 ambazo zingepunguza utegemezi katika bajeti ya Serikali Kuu. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Augustino Mrema na Makamu Mwenyekiti, Iddi Azzan.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI