NAPE AUNGURUMA RUKWA

KATIBU wa NEC CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara baada ya mapokezi ya msafara wake na Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Nchemba Mwigulu, kuwasili kwenye uwanja wa Laela A, Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa


VIjana wakimzunguka Nape baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika mji mdogo wa Naela, Sumbawanga mkoa wa Rukwa.


Waendesha pikipiki zaidi ya 50, wakisubiri kuusindikiza msafara wa Nape na Mwigulu, baada ya kuwasili nje kidogo ya mji wa Sumgawanga mkoani Rukwa





Nape akiteta jambo na Mbunge wa zamani wa jimbo la Nkwela, Chrisant Mzindakaya, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Naela A, Sumbawanga mkoani Rukwa.








Nape akishiriki katika ngoma ya kina mama wa Naelea mkoani Rukwa








Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA