NAPE AUNGURUMA RUKWA

KATIBU wa NEC CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara baada ya mapokezi ya msafara wake na Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Nchemba Mwigulu, kuwasili kwenye uwanja wa Laela A, Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa


VIjana wakimzunguka Nape baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara katika mji mdogo wa Naela, Sumbawanga mkoa wa Rukwa.


Waendesha pikipiki zaidi ya 50, wakisubiri kuusindikiza msafara wa Nape na Mwigulu, baada ya kuwasili nje kidogo ya mji wa Sumgawanga mkoani Rukwa





Nape akiteta jambo na Mbunge wa zamani wa jimbo la Nkwela, Chrisant Mzindakaya, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Naela A, Sumbawanga mkoani Rukwa.








Nape akishiriki katika ngoma ya kina mama wa Naelea mkoani Rukwa








Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA