OBAMA; OSAMA ALISAIDIWA NA PAKISTANI

Rais Obama ametoa wito kwa serikali ya Pakistan kuchunguza mtandao ambao ulimpa hifadhi Osama bin Laden kwenye nyumba ya siri, ambako aliuliwa juma lilopita na makamando wa Marekani.

Akihojiwa kwenye televisheni, Bwana Obama alisema hana ushahidi kuonesha kuwa watu ndani ya serikali ya Pakistan wakimsaidia bin Laden, lakini ni jambo ambalo linafaa kuchunguzwa.
Lakini alisema, lazima kulikuwa na watu wakimsaidia na inafaa kuchunguzwa.
Pakistan imekanusha tuhuma kuwa, kusudi, ilimpa hifadhi kiongozi wa Al Qaeda, na imetoa amri kufanywe uchunguzi, kwanini idara yake ya ujasusi ilishindwa kumpata.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.