Washiriki wakiwa kwenye maandamano ya kuchangia mfuko chakula kwa wanafunzi leo mjini Dodoma
Mwenyekiti wa taasissi y a WAMA mama Salma Kikwete(kushoto) Mkuu wa mkoa wa Dodoma James Msekela,Mwakilish iMkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP) Ronald Sibanda pamoja naBalozi wa kupambana nanjaa nchini Reginald Mengi (kulia) wakiwa katika matembezi ya kuchangia chakula mashuleni mkoani Dodoma leo.
PICHA NA MWANAKOMBO JUMAA-MAELEZO
Comments