Makamu wa Rais, Dk. Bilal (katikati) msitari wa mbele) akiwa na wanamichezo bora Tanzania 2010 pamoja na baadhi ya viongozi wa michezo nchini.Kulia kwake ni Waziri wa Habari, Vijana na Michezo, Emmanuel Nchimbi na Mwenyekiti wa baraza la Michezo Tanzania (BMT), Idd Kipingu.Wa pili kulia ni Mweyekiti wa TASWA, Juma Pinto na Mwenyekiti wa Kamati ya tuzo hizo, Masoud Sanani.
Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimkabidhi tuzo ya heshima Rais msitaafu Benjamin Mkapa, kwa kuenga uwanja wakati wa awamu yake.
Comments