UJERUMANI KUTEKETEZA VINU VYA NYUKLIA

Kufuatia mazungumzo ya usiku kutwa ya serikali ya mseto nchini Ujerumani, nchi hiyo imetangaza kubadilisha sera kuhusiana na nguvu za nuklia.
Ujerumani imetangaza kwamba itakomesha utumizi wa vinu 17 vya nguvu za nuklia kufikia mwaka 2022.
Uamuzi huo unaifanya Ujerumani kuwa taifa la kwanza kubwa ambalo limeendelea sana kiviwanda kutangaza kutupilia mbali utumizi wa nguvu za nuklia.
Mataifa kadhaa yamekuwa yakizichunguza sera zake kuhusiana na nguvu za nuklia, hasa kufuatia janga la Fukushima nchini Japan, mwezi Machi.
Nchi ya Uswisi wiki iliyopita ilikuwa nchi ya kwanza ya Ulaya kutangaza kwamba itasimamisha utumizi wa nguvu za nuklia.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA