USWIS YAPIGA TANCHI MALI YA GADDAFI

Uswizi imesema imepiga tanji takriban mali zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni moja za Kanali Muammar Gaddafi wa Libya na viongozi walioondolewa madarakani kutoka Misri na Tunisia.

Waziri wa mambo ya nje wa Uswizi Micheline Calmy-Rey alisema takriban dola za kimarekani milioni 960 zimepatikana.

Waziri huyo alisema, kati ya hizo, kiwango kikubwa cha faranga za kifaransa milioni 410 zimehusishwa na aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak na washirika wake.

Faranga nyingine zenye thamani ya milioni 360 zinaaminiwa kuwa za uongozi wa Kanali Gaddafi.

Na faranga milioni 60 zinamhusu aliyekuwa kiongozi wa Tunisa Zine al-Abidine Ben Ali na washirika wake.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI