Msanii Barnaba Elias 'Barnaba' akiimba kwa hisia katika shoo maalumu ya ziara ya wasanii walioshinda tuzo za Kili mwaka huu, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Royal Village, mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo. Ziara hiyo ya kuwashukuru wapenzi wa muziki waliowapigia kura imefanikishwa na wadhamini wakuu wa tuzo hiyo, Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Msanii Joh Makini ambaye ni mmoja wa wasanii walioshinda tuzo la Kili za Muziki Tanzania 2011, akionesha umahiri wake wakati wa shoo maalumu ya ziara ya wasanii walioshinda tuzo hizo,iliyofanyika kwenye Hoteli ya Royal Village, mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo.
Msanii Joh Makini ambaye ni mmoja wa wasanii walioshinda tuzo la Kili za Muziki Tanzania 2011, akionesha umahiri wake wakati wa shoo maalumu ya ziara ya wasanii walioshinda tuzo hizo,iliyofanyika kwenye Hoteli ya Royal Village, mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo.
Wasanii wateule Mwasiti Golden Mbunda 'Salasala'wakifanya vitu vyao katika shoo maalumu ya ziara ya wasanii walioshinda Kili za Muziki Tanzania 2011,iliyofanyika kwenye Hoteli ya Royal Village, mjini Dodoma.
Comments