Mchezaji wa zamani wa Manchester United ya Uingereza, Andy Core (katikati) waliosiosimama) akiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya Makongo, Dar es Salaam,wakati wa uzinduzi wa vijana wenye vipaji vya kucheza soka. Core ni mwenyeji wa kampuni ya simu ya Airtel.
Andy Core akisalimiana na Naibu Waziri wa Habari, Vijana na Michezo, Dk. Mukangara walipokutana wakati wa uzinduzi huo. Katikati ni Katibu Mkuu wa TFF, Angetilleh Osiah.
Andy Core akisalimiana na Naibu Waziri wa Habari, Vijana na Michezo, Dk. Mukangara walipokutana wakati wa uzinduzi huo. Katikati ni Katibu Mkuu wa TFF, Angetilleh Osiah.
Comments