GADDAFFI AISHUTUMU NATO KWA MAUAJI YA WALIBYA



Kiongozi wa Libya Kanali Muammar Gaddafi (pichani) ameshtumu mataifa yanayounda muungano wa Nato kwa mauaji,siku mbili baada ya watu wa familia ya mshirika wake wa karibu kuuawa kufuatia shambulio la angani.
Kupitia kituo cha taifa cha Televisheni,alitoa ujumbe kwa kanda siku ya Jumatano, akielezea wale waliotekeleza mashambulio kama "wahalifu" na "makatili".
Nato imeomba radhi kwa vifo vya raia, lakini wakasema kuwa nyumba iliolengwa ni "kituo kinachoratibu harakati za vikosi vya Gaddafi".
Jamii ya kimataifa imegawanyika
Mapema waziri wa mambo ya nje wa Italia alitoa wito wa kusitishwa kwa mapigano mara moja.
Francisco Frattini alisema muhimu mapigano yasitishwe ili kutoa fursa kwa misaada kuwafikia raia.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.