KIJIJI KINGINE CHASHAMBULIWA SYRIA

Wakimbizi wa Syria katika kambi nchini Uturuki

Taarifa kutoka Syria zinaeleza kuwa wanajeshi wameingia katika kijiji chengine ili kuzima upinzani dhidi ya serikali ya Rais Bashar al-Assad.

Wanaharakati wanaopinga serikali wanasema vifaru na wanajeshi waliofyatua bunduki za rashasha waliingia Bdama, karibu na mpaka wa Uturuki.
Taarifa moja inasema watu kama mia moja walikamatwa.
Na Uingereza imewashauri wananchi wake waliobaki Syria, afadhali waondoke.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI