Wakimbizi wa Syria katika kambi nchini Uturuki
Taarifa kutoka Syria zinaeleza kuwa wanajeshi wameingia katika kijiji chengine ili kuzima upinzani dhidi ya serikali ya Rais Bashar al-Assad.
Wanaharakati wanaopinga serikali wanasema vifaru na wanajeshi waliofyatua bunduki za rashasha waliingia Bdama, karibu na mpaka wa Uturuki.
Taarifa moja inasema watu kama mia moja walikamatwa.
Na Uingereza imewashauri wananchi wake waliobaki Syria, afadhali waondoke.
Wanaharakati wanaopinga serikali wanasema vifaru na wanajeshi waliofyatua bunduki za rashasha waliingia Bdama, karibu na mpaka wa Uturuki.
Taarifa moja inasema watu kama mia moja walikamatwa.
Na Uingereza imewashauri wananchi wake waliobaki Syria, afadhali waondoke.
Comments