Kikundi cha Machozi wakitumbuiza wakati wa Kilele cha Wiki ya Utumishi wa Umma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira (kulia) akimsalimia Katibu Mkuu Kiongozi msitaafu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Timoth Apiyo walipokutana katika kilele cha maadhimisho ya ya Wiki ya Utumishi wa Umma ya Umoja wa Mataifa na Afrika, kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Katikati ni John Rupia ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi msitaafu. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
Comments