KINARA WA JAZZ MASEKELA ATUA DAR

Mwanamuziki mashuhuri wa muziki wa Jazz kutoka Afrika Kusini, Hugh Masekela (kulia) akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu jinsi alivyojiandaa kwa onesho litakalofanyika kesho kwenye Hoteli ya Golden Tulip, Dar es Salaam. Kushoto ni Sauda Kilumanga ambaye naye atafanya shoo ya utangulizi. Onesho hilo limedhaminiwa na Benki ya Stanbic.


Sauda Kilumanga akizungumza



Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Benki ya Stanbic, Abdallah Singano akizelezea kuhusu shoo hiyo




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.