Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT), Profesa Tolly Mbwette (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam , kuhusu maandalizi ya mkutano wa tatu wa Afrika wa kujadili maendeleo ya Elimu Huria na Elimu Masafa itakayoanza Julai 12-15, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Elifas Bisanda ambaye ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo hicho (Taaluma). (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT), Profesa Tolly Mbwette (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam , kuhusu maandalizi ya mkutano wa tatu wa Afrika wa kujadili maendeleo ya Elimu Huria na Elimu Masafa itakayoanza Julai 12-15, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Elifas Bisanda ambaye ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo hicho (Taaluma). Kulia ni Mwanafunzi wa Chuo hicho, Mudhihir Mudhihir.(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Comments