Mama Salma Kikwete (kushoto) akibadilishana mawazo na Mke wa Makamu wa Rais wa Kenya, Pauline Kalonzo.
Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete (kushoto ) akizungumza na baadhi ya wake wa viongozi wa kitaifa kutoka nchi za Afrika,walipokaribishwa kwenye hafla ya chai ya jioni na mke wa Waziri Mkuu wa Malaysia, Datin Mansor (kulia) nyumbani kwake Putrajaya, Malaysia. (wa pili kulia ni Mke wa Makamu wa Rais wa Kenya,Pailine Kalonzo na mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho, Mathato Mosisili. (PICHA ZOTE NA MWANAKOMBO JUMAA-MAELEZO)
Comments