Mmoja wa vijana kutoka Temeke, akipuliza vuvuzela wakati wa kushangilia pambano hilo.
Waziri wa Habari, Vijana na Michezo, William Nchimbi (kulia) ambaye alikuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa michuano ya soka ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Copa Coca-Cola, na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Idd Kipingu wakiangalia mechi kati ya Kinondonui na Dodoma kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.
Comments