Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Jan Poulsen pamoja na Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Sunday Kayuni watakutana na makocha 32 wa klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza. Mkutano huo utafanyika Juni 20 mwaka huu Ofisi za TFF kuanzia saa 3 asubuhi. Pamoja na mambo mengine, mkutano huo ni maalumu kwa Poulsen kueleza falsafa yake ya ufundishaji, tathmini ya Ligi Kuu ya Vodacom iliyomalizika Aprili mwaka huu, kutoa leseni za daraja A za ukocha za TFF kwa makocha husika na kubadilishana uzoefu. Makocha husika wanatakiwa kugharamiwa na klabu zao kwa ajili ya kushiriki mkutano huo muhimu. TFF itagharamia chai na chakula cha mchana pekee. Klabu za Ligi Kuu ni African Lyon, Azam, Coastal Union, JKT Ruvu, Kagera Sugar, Moro United, Mtibwa Sugar, Oljoro JKT, Polisi Tanzania, Ruvu Shooting, Simba, Toto Africans, Villa Squad na Yanga.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments