Meneja Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele (kushoto) akimkabidhi Mwenyekiti wa Alaf Saccos, Said Kitenge mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 950 kwa ajili ya kuwakopesha wanachama 300 wa Saccos hiyo. Hafla hiyo ilifanyika eneo la Kiwanda cha mabati cha Alaf, Dar es Salaam leo. Katikati ni Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Kiwanda cha mabati cha Alaf, Pankat Kumar
Wafanyakazi wa PPF wakiwa na baadhi ya wafanyakazi wa Alaf watakaonufaika kupitia mkopo huo.
Wafanyakazi wa PPF wakiwa na baadhi ya wafanyakazi wa Alaf watakaonufaika kupitia mkopo huo.
Ofisa Mwandamizi wa Vitegauchumi wa PPF, Godbless Robian (kushoto) akielezea manufaa anayoweza kunufaika mfanyakazi atakayejiunga uanachama na mfuko PPF.
Comments