Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu, Dar es Salaam.(PICHA NA JOHN LUKUWI)
Rais Jakaya Kikwete akifanya mazungumzo na Takreem El-Tohamy, Meneja Mkuu wa IBM katika nchi za Mashariki ya Kati na Afrika Ikulu Dar es Saslaam
Rais Jakaya Kikwete akimkaribisha kwa mazungumzo Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Hispania, Miguel Moratinos. Baadaye Rais Kikwete alifanya mazungumzo na mgeni huyo Ikulu, Dar es Salaam
Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika mkutano wa wadau Mradi wa Tiba ya Malaria, Dar es Salaam
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa Mradi wa Tiba ya Malaria (MMV), Ray Chambers (kushoto) na Mwenyekiti wa MMV aliyemaliza muda wake, Lynda Chalker wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa mradi tiba ya malaria, Dar es Salaam. (PICHA NA FREDDY MARO)
Comments