SALMA KIKWETE AZINDUA KITABU CHA ELIMU YA MALARIA

Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA, Mama Salma Kikwete akiwasikiliza wanafunzi wa Shule ya Msingi Kilimani Sesame na kujaribu kuwafundisha kitabu alichokizundua jana Dar es Salaam cha Chandarua Salama cha Kilimani Sesame chenye kutoa elimu juu ya Malaria ugonjwa hatari unaosababisha vifo vingi kuliko ugonjwa mwingine wowote nchini hususani kwa akina mama wajawazito na watoto.(PICHA NA MWANAKOMBO JUMAA-MAELEZO)


Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA, Mama Salma Kikwete akiwasikiliza wanafunzi wa Shule ya Msingi Kilimani Sesame na kujaribu kuwafundisha kitabu alichokizundua jana Dar es Salaam cha Chandarua Salama cha Kilimani Sesame chenye kutoa elimu juu ya Malaria ugonjwa hatari unaosababisha vifo vingi kuliko ugonjwa mwingine wowote nchini hususani kwa akina mama wajawazito na watoto.(PICHA NA MWANAKOMBO JUMAA-MAELEZO)



Mama Salma Kikwete akihutubia













Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akioneshwa kitabu cha Chandarua Salama cha Kilimani Sesame chenye kutoa elimu juu ya Malaria kutoka kwa Mwakilishi wa Zinduka- Malaria no More, Sadaka Gandi Dar es Salaam jana. (PICHA NA MWANAKOMBO JUMAA-MAELEZO)








Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA