Sanahani wadau wangu kwa kutokwenda na wakati kutoa matukio kwenye Blogu yenu ya kizalendo ya Kamanda wa Matukio, kwani nilikuwa nasafari ya dharula jijini Mbeya ambayo haikunipa fursa ya kuweza kufanya hivyo, lakini sasa nimerudi naahidi kuwawekea mambo motomoto kibao yakiwemo ya safari ya kutoka Dar -Mbeya-Dar. Karibuni sana.
Wenu Mtayarishaji Mkuu
Kamanda Mwaikenda
Comments