SHADRACK NSAJIGWA WA STARS, YANGA AOPOA KIFAA

Nahodha wa Taifa Stars na Yanga, Shadrack Nsajigwa akiwa mwenye furaha pamoja na mkewe Jane Mwamasangula katika mnuso wa harusi yao uluiofanyika kwenye ukumbi wa makunti wa JKT Mgulani, Dar es Salaam usiku wa kumkia leo. Walifunga pingu za maisha kwenye Kanisa la Moravian Mburahati jijini jana.


Shadrack Nsajigwa akiwa na mwandani wake Janne


Nsajigwa akiwa na wapambe wao pamoja na baadhi ya marafiki





Ni wakati wa furaha (Picha za blogu ya Jamii)







Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA