Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Idd Kipingu (wa pili kushoto), akimkabidhi bendera ya Taifa Mkuu wa msafara wa Taifa Stars, Samwel Nyalla, Dar es Salaam kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha nchi katika mchezo wa marudiano na timu ya Taifa ya Jumhuri ya Afrika ya Kati, unaochezwa keshokutwa nchini humo. Kushoto ni Kocha wa timu hiyo, Jan Poulsen na kulia ni nahodha Shadrack Nsajigwa na Meneja wa timu, Leopold Tasso
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Idd Kipingu (wa pili kushoto), akimkabidhi bendera ya Taifa Mkuu wa msafara wa Taifa Stars, Samwel Nyalla, Dar es Salaam kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha nchi katika mchezo wa marudiano na timu ya Taifa ya Jumhuri ya Afrika ya Kati, unaochezwa keshokutwa nchini humo. Kushoto ni Kocha wa timu hiyo, Jan Poulsen na kulia ni nahodha Shadrack Nsajigwa na Meneja wa timu, Leopold Tasso
Comments