Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkullo, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari hayo.Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NBS, Dk.Albina Chuwa na Mwakilishi wa UNFPA, Dk.Julitta Onabanjo.
Mwakilishi wa UNFPA hapa nchini Dk.Julitta Onabanjo, akitoa hotuba fupi wakati wa hafla hiyo. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NBS, Dk.Albina Chuwa na Waziri waa Uchumi na Fedha, Mustafa Mkullo.
Waziri wa Uchumi na Fedha, Mustafa Mkullo,akitia saini katika kitabu cha wageni baada ya kuwasili Idara ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dar es Salaam , kwenye hafla ya kupokea magari 18 aina ya Land Cruiser Hard Top zenye thamani ya sh.bilioni 1,109,502,196 yaliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu dunia (UNFPA), Kushoto ni Mkurugenzi wa NBS Dk.Albina Chuwa.
Waziri wa Uchumi na Fedha, Mustafa Mkullo,akitia saini katika kitabu cha wageni baada ya kuwasili Idara ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dar es Salaam , kwenye hafla ya kupokea magari 18 aina ya Land Cruiser Hard Top zenye thamani ya sh.bilioni 1,109,502,196 yaliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu dunia (UNFPA), Kushoto ni Mkurugenzi wa NBS Dk.Albina Chuwa.
Comments