VODACOM YATOA MIL 40 ZA UJENZI WA WODI YA WANAWAKE CCBRT

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya CCBRT Erwin Telemans kushoto ,Afisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba wakisaini makubaliano ya Vodacom Foundation kuchangia shilingi Milioni 40 za ujenzi wa wodi ya wanawake na watoto kwenye Hospitali mpya ya CCBRT Boabab itakayojengwa jijini Dar es salaam. Wanaoshuhudia katikati Mkuu wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule na kulia Meneja Mahusiano wa CCBRT Kira Thomas

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*