WAFANYAKAZI AIRTEL WACHANGIA DAMU

Diocles Kaimukilwa, mtaalamu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama (kushoto) akichukua damu ya Felix Gama, ambaye ni mmoja kati ya wafanyakazi zaidi ya mia moja wa Airtel waliochangia damu leo hii. Kampuni ya mawasilano ya Airtel hapa nchini imeratibu zoezi la wafanyakazi wake kujitolea damu kwa ajili ya kuwasaidia watoto wenye ugonjwa wa kansa walio katika hospitali za Muhimbili National Hospital na Ocean Road, zote za jijini Dar es Salaam.

Judith Charle, mtaalamu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama (kushoto) akichukua damu ya Mariam Mfinanga, ambaye ni mmoja kati ya wafanyakazi zaidi ya mia moja wa Airtel waliochangia damu leo hii. Kampuni ya mawasilano ya Airtel hapa nchini imeratibu zoezi la wafanyakazi wake kujitolea damu kwa ajili ya kuwasaidia watoto wenye ugonjwa wa kansa walio katika hospitali za Muhimbili National Hospital na Ocean Road, zote za jijini Dar es Salaam.




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.