WAREMBO WALIOINGIA MISS REDDS KANDA

Meneja wa kinywaji cha Redd's Premium Cold, Victoria Kimaro (wa pili kulia) akiwa na baadhi ya warembo walioshinda katika mashindano ya urembo ya vitongoji na kufanikiwa kuingia michuano wa kanda inayodhaminiwa na kinywaji hicho. Kimaro alifanya mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam, ambapo alitangaza kuanza kwa mashindano hayo ya kanda. Kutoka kushoto ni Faiza Ali, Naomi Jones, Stellah Mbuge,Mwajabu Juma na Cynthia Kimasha. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA