WAREMBO WALIOINGIA MISS REDDS KANDA

Meneja wa kinywaji cha Redd's Premium Cold, Victoria Kimaro (wa pili kulia) akiwa na baadhi ya warembo walioshinda katika mashindano ya urembo ya vitongoji na kufanikiwa kuingia michuano wa kanda inayodhaminiwa na kinywaji hicho. Kimaro alifanya mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam, ambapo alitangaza kuanza kwa mashindano hayo ya kanda. Kutoka kushoto ni Faiza Ali, Naomi Jones, Stellah Mbuge,Mwajabu Juma na Cynthia Kimasha. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA