YANGA YAITUNGUA ELMAN YA SOMALIA 2-0

Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao la kwanza dhidi ya Elman ya Somalia katika michuano ya Kagame Castle Cup kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Picha zote na Kamanda Mwaikenda.

Keneth Asamoah (katikati) wa Yanga, akiwanyanyasa wachezaji wa Elman ya Somalia katika michuano ya Kagame Castle Cup, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Yanga imeshinda mabao 2-0.



Mashabiki wa Yanga wakishuhudia pambano hilo






Mambo yalikuwa hivi

















Nurdin Bakari wa Yanga akiwakusanya wachezaji wa Elman ya Somalia










Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.