BREAKING NEWS ....MZEE KIPARA AFARIKI DUNIA

PICHANI NI MAREHEMU ENZI ZA UHAI WAKE

Mzee Said Fundi, maarufu kama Mzee Kipara msanii ambaye amedumu katika sanaa kwa miaka mingi sana.
Mzee kipara ambaye alikuwa akishambuliwa na maradhi kwa mada mrefu amefikwa mauti hayo leo amefariki dunia asubuhi saa mbili leo Jumatano tarehe 11 Januari, 2012.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi AMEN...

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA