BREAKING NEWS
....MZEE KIPARA AFARIKI DUNIA
Mzee Said Fundi, maarufu kama Mzee Kipara msanii ambaye amedumu katika sanaa kwa miaka mingi sana.
Mzee kipara ambaye alikuwa akishambuliwa na maradhi kwa mada mrefu amefikwa mauti hayo leo amefariki dunia asubuhi saa mbili leo Jumatano tarehe 11 Januari, 2012.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi AMEN...
Comments